Skip to main content

FURSA ZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI SAUDI ARABIA KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026

FURSA ZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI SAUDI ARABIA KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026

  1. Tunapenda kuwatangazia Watanzania kuwa Serikali ya Saudi Arabia imetoa fursa za Ufadhili wa masomo ya juu jumla ya nafasi mia moja na ishrini na saba (127) kwa Tanzania. Nafasi hizo ni kwa ngazi mbali mbali za vyuo vilivyopo nchini Saudi Arabia.
Announcement Date

Call for Interview: Infrastructure Development Officer, UDSM HEET - Project

The University of Dar es Salaam is pleased to invite the following candidates for an oral interview to be held on the date and time as indicated below;

POST:                                        Infrastructure Development Officer, UDSM HEET - Project

Announcement Date

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI


Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Taaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba nafasi mbalimbali za ajira katika chuo hiki kuwa, usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 8 Machi 2025. Baada ya usaili, waombaji watakaofaulu watapangiwa vituo vya kazi. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Announcement Date

Call for Papers for Regional Webinar Series

This call is part of a collaborative work between four IDRC research chairs on forced displacement located at the University of Dar es Salaam (Tanzania), Addis Ababa University (Ethiopia), Asian Institute of Technology, Center on Gender and Forced Displacement (India), and the University of Guadalajara (Mexico). It stems from a larger multiyear collaboration between a 12-chair global research network funded by Canada’s International Development Research Centre (IDRC).
Announcement Date