Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof. Aldin Mutembei, ameteuliwa kuongoza Makamishina tisa wa Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika chini ya Taasisi ya Kiafrika ya Lugha (African Academy of Languages - ACALAN), chini ya Umoja wa Afrika (AU), kwa kipindi cha miaka minne, kuanzia mwaka 2026 hadi 2030.
5th
Aug
START TIME: 2026-08-05
END TIME: 2026-08-12