Chombo cha Habari cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mlimani Media, kimeendelea kuweka alama ya mafanikio katika tasnia ya habari baada ya kutunukiwa tuzo maalum kwa mchango wake mkubwa katika kukuza, kueneza na kuenzi lugha ya Kiswahili.
Salamu za Pole - Prof. Keto Elitabu Mshigeni
Mkuu wa Chuo, Baraza, Menejimenti na Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumepokea kwa huzuni kubwa taarifa ya kifo cha Profesa Keto Elitabu Mshigeni kilichotokea tarehe 22 Machi 2026 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete alipokuwa akipatiwa matibabu.
Announcement Date