In celebration of International Women’s Day 2025, we continue our series featuring inspiring women at the University of Dar es Salaam. Today, we shine a spotlight on CPA Edna Joseph Bundala, a remarkable woman in finance.
Na Tumaini Kibangara, CMU
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2025, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeadhimisha siku hii kwa kutekeleza jukumu lake la kuhudumia jamii kwa kutoa misaada kwa makundi yenye uhitaji.