Skip to main content

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI


Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Taaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba nafasi mbalimbali za ajira katika chuo hiki kuwa, usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 8 Machi 2025. Baada ya usaili, waombaji watakaofaulu watapangiwa vituo vya kazi. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Announcement Date

Call for Papers for Regional Webinar Series

This call is part of a collaborative work between four IDRC research chairs on forced displacement located at the University of Dar es Salaam (Tanzania), Addis Ababa University (Ethiopia), Asian Institute of Technology, Center on Gender and Forced Displacement (India), and the University of Guadalajara (Mexico). It stems from a larger multiyear collaboration between a 12-chair global research network funded by Canada’s International Development Research Centre (IDRC).
Announcement Date