The University of Dar es Salaam has initiated high-level discussions with Harvard University aimed at establishing a strategic partnership on the application of Artificial Intelligence (AI) in teaching, research, and data analytics.
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 02/05/2026 hadi 04/05/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:
Announcement Date