TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Taaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba nafasi mbalimbali za ajira katika chuo hiki kuwa, usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 8 Machi 2025. Baada ya usaili, waombaji watakaofaulu watapangiwa vituo vya kazi. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-