The University of Dar es Salaam (UDSM) has strengthened China–Tanzania cultural and academic cooperation with the launch of the Third China Bookshelf Initiative, reaffirming the role of knowledge and culture as drivers of national development and international partnership.
Tangazo la kuitwa kazini – Disemba 2025
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinapenda kuwataarifu waombaji kazi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 5 Desemba, 2025 kuwa, majina ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Waombaji waliofaulu usaili watatakiwa kukamilisha taratibu mbalimbali za ajira kwa kufika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jengo la Utawala, Ofisi ya Masjala, Chumba Na.
Announcement Date