UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
ALUMNI CONVOCATION AND ADVANCEMENT (ACA)

Announcements

“Badili changamoto kuwa fursa”
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anawatangazia wahitimu wote wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania kuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeandaa mafunzo ya ujasiriamali yatakayotolewa katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Arusha, Unguja, Pemba, Kigoma, Kagera, Iringa na Lindi. Mafunzo haya yataanza mwezi Septemba hadi mwezi Oktoba mwaka 2023.

Read More >>>