The University of Dar es Salaam (UDSM) has once again strengthened its reputation as a continental trailblazer in higher education following the appointment of its Vice Chancellor, Professor William-Andey Lazaro Anangisye, to the Governing Board of the Association of African Universities (AAU).
Tangazo la Kuitwa Kazini (Majina ya Nyongeza)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinapenda kuwataarifu waombaji kazi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 13 hadi 16 Julai, 2025 kuwa, majina ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.
Announcement Date