UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (MUCE)

News

KONGAMANO LA WIKI YA UTALII "KARIBU KUSINI"

MUCE walichaguliwa kuwa wenyeji wa kongamano lililofanyika tarehe 13 Disemba 2018 kwenye ukumbi wa mihadhara.

Mada zilizowasilishwa ni:

1. Umuhimu na mchango wa utunzaji wa mazingira katika kukuza utalii nchini;

2. Umuhimu wa michango wa miundombinu katika kukuza utalii nchini; na

3. Namna mipango ya matumizi bora ya ardhi inavyochochea ukuaji na uhifadhi wa vivutio vya utalii nchini.