UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (DUCE)

News

Rasi wa Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE), Prof. Stephen Oswald Maluka, anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa Chuo, Bi. Nora Michael Ngirwamungu {Afisa Tawala Mkuu II} kilichotokea tarehe 14/07/2021 baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwake Chang ' ombe, karibu na uwanja wa Sigara.

Tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huu.

Attachment: Download